forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
799 B
Markdown
24 lines
799 B
Markdown
# Jihadharini na
|
|
|
|
"jilindeni na"
|
|
|
|
# wanakuja wamevaa ngozi ya kondoo,lakini kweli ni mbwa wakali
|
|
|
|
Huu msemo una maana manabii wa uongo watajifanya wazuri na kutaka kuwasaidia, lakini kwa ualisia ni waovu na watawadhuru.
|
|
|
|
# Kwa matunda yao utawatambua
|
|
|
|
Huu msemo unarejea matendo ya mtu. "Kama vile unavyofahamu mti kwa tunda linalotokea, utamtabua nabii wa uongo kwa matendo yao."
|
|
|
|
# Je watu wanaweza kuvuna ....miiba?
|
|
|
|
Yesu anatumia swali kujibu watu. Watu wangetambua kwamba jibu siyo. "watu hawezi kuvuna...miba."
|
|
|
|
# kila mti mzuri huzaa matunda mazuri
|
|
|
|
Yesu anaendelea kutumia msemo wa tunda akimaanisha nabii mzuri ambaye anafanya kazi nzuri au maneno mazuri.
|
|
|
|
# mti mbaya huzaa matunda mabaya
|
|
|
|
Yesu anaendelea kutumia mfano wa matunda kwa kurejea kwa nabii mbaya ambaye anafanya kazi ya uovu.
|