sw_tn/mat/07/15.md

799 B

Jihadharini na

"jilindeni na"

wanakuja wamevaa ngozi ya kondoo,lakini kweli ni mbwa wakali

Huu msemo una maana manabii wa uongo watajifanya wazuri na kutaka kuwasaidia, lakini kwa ualisia ni waovu na watawadhuru.

Kwa matunda yao utawatambua

Huu msemo unarejea matendo ya mtu. "Kama vile unavyofahamu mti kwa tunda linalotokea, utamtabua nabii wa uongo kwa matendo yao."

Je watu wanaweza kuvuna ....miiba?

Yesu anatumia swali kujibu watu. Watu wangetambua kwamba jibu siyo. "watu hawezi kuvuna...miba."

kila mti mzuri huzaa matunda mazuri

Yesu anaendelea kutumia msemo wa tunda akimaanisha nabii mzuri ambaye anafanya kazi nzuri au maneno mazuri.

mti mbaya huzaa matunda mabaya

Yesu anaendelea kutumia mfano wa matunda kwa kurejea kwa nabii mbaya ambaye anafanya kazi ya uovu.