forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
645 B
Markdown
20 lines
645 B
Markdown
# Maelezo kwa ujumla
|
|
|
|
Yesu anawaambia makutano juu ya kile kinachoweza kutokea baadaye katika maisha yao binafsi. Viwakilishi vya "ninyi" na :wenu" ni vya wingi.
|
|
|
|
# ni kwa kiasi gani zaidi Baba aliye mbinguni atawapa...... yeye?
|
|
|
|
Yesu anatumia swali kujibu watu. "ndipo Baba yenu aliye mbinguni hakika atampa....yeye."
|
|
|
|
# Baba
|
|
|
|
Hii ni sifa muhimu ya Mungu.
|
|
|
|
# unataka kufanyiwa kitu chochote na watu
|
|
|
|
kwa njia yeyote lolote unalotaka ufanyiwe na wengine"
|
|
|
|
# kwa kuwa hiyo ni sheria na unabii
|
|
|
|
Hapa "sheria" na "unabii" kinarejea kile ambacho Musa na manabii walikiandika. kwa kuwa hiki ndicho kile Musa na manabii walifundisha kwenye maandiko."
|