sw_tn/mat/07/11.md

645 B

Maelezo kwa ujumla

Yesu anawaambia makutano juu ya kile kinachoweza kutokea baadaye katika maisha yao binafsi. Viwakilishi vya "ninyi" na :wenu" ni vya wingi.

ni kwa kiasi gani zaidi Baba aliye mbinguni atawapa...... yeye?

Yesu anatumia swali kujibu watu. "ndipo Baba yenu aliye mbinguni hakika atampa....yeye."

Baba

Hii ni sifa muhimu ya Mungu.

unataka kufanyiwa kitu chochote na watu

kwa njia yeyote lolote unalotaka ufanyiwe na wengine"

kwa kuwa hiyo ni sheria na unabii

Hapa "sheria" na "unabii" kinarejea kile ambacho Musa na manabii walikiandika. kwa kuwa hiki ndicho kile Musa na manabii walifundisha kwenye maandiko."