forked from WA-Catalog/sw_tn
645 B
645 B
Maelezo kwa ujumla
Yesu anawaambia makutano juu ya kile kinachoweza kutokea baadaye katika maisha yao binafsi. Viwakilishi vya "ninyi" na :wenu" ni vya wingi.
ni kwa kiasi gani zaidi Baba aliye mbinguni atawapa...... yeye?
Yesu anatumia swali kujibu watu. "ndipo Baba yenu aliye mbinguni hakika atampa....yeye."
Baba
Hii ni sifa muhimu ya Mungu.
unataka kufanyiwa kitu chochote na watu
kwa njia yeyote lolote unalotaka ufanyiwe na wengine"
kwa kuwa hiyo ni sheria na unabii
Hapa "sheria" na "unabii" kinarejea kile ambacho Musa na manabii walikiandika. kwa kuwa hiki ndicho kile Musa na manabii walifundisha kwenye maandiko."