sw_tn/mat/06/32.md

896 B

Kwa kuwa mataifa wanafuta mambo haya

"kwa mataifa wanajali san juu ya kile watachokula, kunywa na kuvaa"

Baba yenu wa mbinguni anajua mnahitaji hayo

Yesu anamaanisha kwamba Mungu atahakikisha mahitaji ya muhimu mnapata

Baba

Hii ni sifa muhimu ya Mungu

tafuta kwanza ufalme na haki

Hapa "ufalme" inamaanisha utawala wa Mungu kama mfalme. "umaanishe mwenyewe katika kumtumikia Mungu, ambaye ni mfalme wako, na ufanye yaliyo haki."

hayo mengine yote atakupatia wewe

Hii inaweza kuelezwa kwa mfumo hai.AT: "Mungu atakupatia hayo yote wewe."

Hivyo basi

"Kwa sababu ya hayo yote"

kesho itajua yenyewe

Yesu anafafanua "kesho" kama mtu ambaye anaweza kuhofu. Yesu anamaanisha kwamba mtu anaweza kuhofu endapo siku inayofuata imefika.

kila siku ina tatizo la kujitosheleza yenyewe

"kila siku huwa ina mabaya yake yakujitosheleza" au "Kila siku ina matatizo yake ya kutosha"