forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
863 B
Markdown
28 lines
863 B
Markdown
# Maelezo kwa ujumla
|
|
|
|
Yesu anawaambia makutano juu ya kile kinachoweza kutokea baadaye katika maisha yao kibinafsi. viwakilishi vya "ninyi" na "wenye" vimo katika wingi.
|
|
|
|
# anayavalisha majani
|
|
|
|
Huu ni msemo ukiwa na maana Mungu anayapendezesha maua
|
|
|
|
# majani
|
|
|
|
Ikiwa lugha yako ina neno linalohisi "majani" na neno ulilotumia kwa "maua" kwa mstari uliopita, unaweza kutumia hapa.
|
|
|
|
# yanatupwa na kuteketea
|
|
|
|
Wayahudi tena walitumia majani kwa moto na kupikia vyakula vyao. Hii inaweza kuelezwa kwa mfumo hai. "mtu mmoja alitupa katika moto" au "mtu mmoja alichoma"
|
|
|
|
# ni kwa kiwango gani atawavalisha ninyi ....imani?
|
|
|
|
Yesu anatumia swali kufundisha watu.AT: yeye hakika atawavisha ninyi...imani."
|
|
|
|
# ninyi wenye imani ndogo
|
|
|
|
"ninyi ambao mna imani ndogo." Yesu anawatuhumu watu kwa sababu walikuwa na imani ndogo na Mungu.
|
|
|
|
# Hivyo basi
|
|
|
|
"Kwa sababu ya hayo yote"
|