sw_tn/mat/06/30.md

863 B

Maelezo kwa ujumla

Yesu anawaambia makutano juu ya kile kinachoweza kutokea baadaye katika maisha yao kibinafsi. viwakilishi vya "ninyi" na "wenye" vimo katika wingi.

anayavalisha majani

Huu ni msemo ukiwa na maana Mungu anayapendezesha maua

majani

Ikiwa lugha yako ina neno linalohisi "majani" na neno ulilotumia kwa "maua" kwa mstari uliopita, unaweza kutumia hapa.

yanatupwa na kuteketea

Wayahudi tena walitumia majani kwa moto na kupikia vyakula vyao. Hii inaweza kuelezwa kwa mfumo hai. "mtu mmoja alitupa katika moto" au "mtu mmoja alichoma"

ni kwa kiwango gani atawavalisha ninyi ....imani?

Yesu anatumia swali kufundisha watu.AT: yeye hakika atawavisha ninyi...imani."

ninyi wenye imani ndogo

"ninyi ambao mna imani ndogo." Yesu anawatuhumu watu kwa sababu walikuwa na imani ndogo na Mungu.

Hivyo basi

"Kwa sababu ya hayo yote"