sw_tn/mat/05/36.md

418 B

chako ... hu

Yesu anaongea na makutano juu ya kile kinachoweza kutokea baadaye katika maisha yao binafsi. Matukio yote ya viwakilishi hivi viko katika umoja, lakini inakupass kuvitafsiri kama wingi.

kuapa

Hii inamaanisha kuapa. Tazama ilivyotafsiriwa katika 5:23

Bali maneno yenu yawe 'ndiyo, ndiyo,' au 'hapana. hapana'

kama unamaanisha 'ndiyo.' sema 'ndiyo,' na kama unamaanisha ;hapana,' sema 'hapana,'