sw_tn/mat/05/11.md

542 B

Sentensi unganishi

Yesu anamaliza kueleza tabia za watu ambao wamebarikiwa.

Mliobarikiwa

Neno "ninyi" ni wingi.

kusema kila aina ya mambo maovu dhidi yenu kwa uongo.

"watasema kila aina ubaya dhidi yenu" au "watasema mambo mabaya juu yenu ambayo si ya kweli"

kwa ajili yangu

"kwa sababu mwanifuata mimi" au "kwa sababu mwaniamini"

Furahini na kushangilia

"Furahini" na "kushangilia" humaanisha karibu kitu kile kile. Yesu alitaka wasikilizaji wake sio tu kufurahi bali hata kufanya zaidi kuliko kufurahi kama inawezekana.