forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
542 B
Markdown
20 lines
542 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Yesu anamaliza kueleza tabia za watu ambao wamebarikiwa.
|
||
|
|
||
|
# Mliobarikiwa
|
||
|
|
||
|
Neno "ninyi" ni wingi.
|
||
|
|
||
|
# kusema kila aina ya mambo maovu dhidi yenu kwa uongo.
|
||
|
|
||
|
"watasema kila aina ubaya dhidi yenu" au "watasema mambo mabaya juu yenu ambayo si ya kweli"
|
||
|
|
||
|
# kwa ajili yangu
|
||
|
|
||
|
"kwa sababu mwanifuata mimi" au "kwa sababu mwaniamini"
|
||
|
|
||
|
# Furahini na kushangilia
|
||
|
|
||
|
"Furahini" na "kushangilia" humaanisha karibu kitu kile kile. Yesu alitaka wasikilizaji wake sio tu kufurahi bali hata kufanya zaidi kuliko kufurahi kama inawezekana.
|