sw_tn/mat/05/09.md

669 B

wapatanishi

Hawa ni watu ambao husaidia wengine kuwa na amani na wengine miongoni mwao.

kwa kuwa wataitwa wana wa Mungu

Hii inaweza kuelezwa katika namna ya muundo tendaji. "kwa kuwa Mungu atawaita watoto wake" au "watakuwa watoto wa Mungu.

wana wa Mungu

Ni vizuri kutafsiri "wana" kwa neno lile lile lugha yako kwa kawaida ungelitumia kurujelea kwa mwana au mtoto wa binadamu

wale ambao wameteswa

Hii inaweza kuelezwa katika namna muundo tendaji. "watu wale ambao wengine huwatendea kwa isivyo haki"

kwa ajili ya haki

"kwa sababu wanafanya kile ambacho Mungu hutaka wafanye"

ufalme wa mbinguni ni wao

angalia jinsi ulivyotafsiri katika Mat. 5:1