forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
669 B
Markdown
24 lines
669 B
Markdown
|
# wapatanishi
|
||
|
|
||
|
Hawa ni watu ambao husaidia wengine kuwa na amani na wengine miongoni mwao.
|
||
|
|
||
|
# kwa kuwa wataitwa wana wa Mungu
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa katika namna ya muundo tendaji. "kwa kuwa Mungu atawaita watoto wake" au "watakuwa watoto wa Mungu.
|
||
|
|
||
|
# wana wa Mungu
|
||
|
|
||
|
Ni vizuri kutafsiri "wana" kwa neno lile lile lugha yako kwa kawaida ungelitumia kurujelea kwa mwana au mtoto wa binadamu
|
||
|
|
||
|
# wale ambao wameteswa
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa katika namna muundo tendaji. "watu wale ambao wengine huwatendea kwa isivyo haki"
|
||
|
|
||
|
# kwa ajili ya haki
|
||
|
|
||
|
"kwa sababu wanafanya kile ambacho Mungu hutaka wafanye"
|
||
|
|
||
|
# ufalme wa mbinguni ni wao
|
||
|
|
||
|
angalia jinsi ulivyotafsiri katika Mat. 5:1
|