sw_tn/mat/04/07.md

598 B

Taarifa kwa ujumla:

Katika mstari wa 7, Yesu amemkemea Shetani na nukuu nyingine kutoka Kumbu kumbu

Tena imeandikwa

Imefahamika kuwa Yesu anamaanisha ana nukuu maandiko tena. Hii inaweza kuelezwa katika namna iliyo tendaji. "Tena, nitawaambia Musa alichoandika katika maandiko."

Usimjaribu

Hapa "usi" inamaanisha yeyote. "Mtu hapaswi kumjaribu" au "Hapana mtu anapaswa kumjaribu."

Tena, Ibilisi

"Baada ya hapo, Ibilisi"

Alimwambia

"Ibilisi alimwambia Yesu"

Vitu vyote hivi nitakupa

"Nitakupa vitu vyote hivi." Mjaribu anasisitiza kuwa atampa "vitu vyote," si tu baadhi yake.