forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
598 B
Markdown
24 lines
598 B
Markdown
|
# Taarifa kwa ujumla:
|
||
|
|
||
|
Katika mstari wa 7, Yesu amemkemea Shetani na nukuu nyingine kutoka Kumbu kumbu
|
||
|
|
||
|
# Tena imeandikwa
|
||
|
|
||
|
Imefahamika kuwa Yesu anamaanisha ana nukuu maandiko tena. Hii inaweza kuelezwa katika namna iliyo tendaji. "Tena, nitawaambia Musa alichoandika katika maandiko."
|
||
|
|
||
|
# Usimjaribu
|
||
|
|
||
|
Hapa "usi" inamaanisha yeyote. "Mtu hapaswi kumjaribu" au "Hapana mtu anapaswa kumjaribu."
|
||
|
|
||
|
# Tena, Ibilisi
|
||
|
|
||
|
"Baada ya hapo, Ibilisi"
|
||
|
|
||
|
# Alimwambia
|
||
|
|
||
|
"Ibilisi alimwambia Yesu"
|
||
|
|
||
|
# Vitu vyote hivi nitakupa
|
||
|
|
||
|
"Nitakupa vitu vyote hivi." Mjaribu anasisitiza kuwa atampa "vitu vyote," si tu baadhi yake.
|