sw_tn/mat/04/07.md

24 lines
598 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# Taarifa kwa ujumla:
Katika mstari wa 7, Yesu amemkemea Shetani na nukuu nyingine kutoka Kumbu kumbu
# Tena imeandikwa
Imefahamika kuwa Yesu anamaanisha ana nukuu maandiko tena. Hii inaweza kuelezwa katika namna iliyo tendaji. "Tena, nitawaambia Musa alichoandika katika maandiko."
# Usimjaribu
Hapa "usi" inamaanisha yeyote. "Mtu hapaswi kumjaribu" au "Hapana mtu anapaswa kumjaribu."
# Tena, Ibilisi
"Baada ya hapo, Ibilisi"
# Alimwambia
"Ibilisi alimwambia Yesu"
# Vitu vyote hivi nitakupa
"Nitakupa vitu vyote hivi." Mjaribu anasisitiza kuwa atampa "vitu vyote," si tu baadhi yake.