forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
600 B
Markdown
24 lines
600 B
Markdown
# Maelezo yanayounganisha:
|
|
|
|
Huu ni mwisho wa sehemu ya simulizi ambayo ilianza katika Mat. 2:1. kuhusu jaribio la Herode kumwua mfalme mpya wa Wayahudi.
|
|
|
|
# Lakini aliposikia
|
|
|
|
"Lakini Yusufu aliposikia"
|
|
|
|
# Arikeleu
|
|
|
|
Hili ni jina la mwana wa Herode.
|
|
|
|
# aliogopa
|
|
|
|
"Yusufu aliogopa"
|
|
|
|
# lile lililonenwa na Bwana kwa njia ya nabii
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezwa katika namna iliyo tendaji. "lile Bwana alilolinena hapo zamani kwa njia ya manabii"
|
|
|
|
# ataitwa mnazarayo
|
|
|
|
Hapa "ataitwa" anamaanisha Yesu. Manabii kabla ya wakati wa Yesu wangelimtaja kama Masihi au Kristo. "watu wangesema kuwa Kristo ni Mnazarayo."
|