sw_tn/mat/02/22.md

600 B

Maelezo yanayounganisha:

Huu ni mwisho wa sehemu ya simulizi ambayo ilianza katika Mat. 2:1. kuhusu jaribio la Herode kumwua mfalme mpya wa Wayahudi.

Lakini aliposikia

"Lakini Yusufu aliposikia"

Arikeleu

Hili ni jina la mwana wa Herode.

aliogopa

"Yusufu aliogopa"

lile lililonenwa na Bwana kwa njia ya nabii

Hii inaweza kuelezwa katika namna iliyo tendaji. "lile Bwana alilolinena hapo zamani kwa njia ya manabii"

ataitwa mnazarayo

Hapa "ataitwa" anamaanisha Yesu. Manabii kabla ya wakati wa Yesu wangelimtaja kama Masihi au Kristo. "watu wangesema kuwa Kristo ni Mnazarayo."