forked from WA-Catalog/sw_tn
600 B
600 B
Maelezo yanayounganisha:
Huu ni mwisho wa sehemu ya simulizi ambayo ilianza katika Mat. 2:1. kuhusu jaribio la Herode kumwua mfalme mpya wa Wayahudi.
Lakini aliposikia
"Lakini Yusufu aliposikia"
Arikeleu
Hili ni jina la mwana wa Herode.
aliogopa
"Yusufu aliogopa"
lile lililonenwa na Bwana kwa njia ya nabii
Hii inaweza kuelezwa katika namna iliyo tendaji. "lile Bwana alilolinena hapo zamani kwa njia ya manabii"
ataitwa mnazarayo
Hapa "ataitwa" anamaanisha Yesu. Manabii kabla ya wakati wa Yesu wangelimtaja kama Masihi au Kristo. "watu wangesema kuwa Kristo ni Mnazarayo."