forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
720 B
Markdown
24 lines
720 B
Markdown
# Maelezo yanayounganisha:
|
|
|
|
Hapa mandhari yahamia kurudi kwa Herode na hueleza alifanya nini baada ya kugundua kuwa mamajusi walikuwa wamemdanganya.
|
|
|
|
# Taarifa kwa ujumla
|
|
|
|
Matukio haya yalitokea kabla kifo cha Herode, ambayo mwandishi ameyataja katika2:13
|
|
|
|
# amekwisha dhihakiwa na mamajusi
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezwa katika namna iliyo tendaji. "mamajusi walikuwa wamemwaibisha kwa kumdanganya."
|
|
|
|
# Alituma na kuwaua watoto wote wa kiume
|
|
|
|
Herode hakuua watoto yeye mwenyewe. "Alitoa amri ili maaskali wake watoto wote wa kiume" au "Aliwatuma maaskari pale kuwa watoto wote wa kiume.
|
|
|
|
# wenye umri wa miaka miwili na chini yake
|
|
|
|
"Umri wa miaka 2 na wadogo chini ya umri huo.
|
|
|
|
# kwa mujibu wa wakati
|
|
|
|
"kutegemeana na wakati"
|