sw_tn/mat/02/16.md

720 B

Maelezo yanayounganisha:

Hapa mandhari yahamia kurudi kwa Herode na hueleza alifanya nini baada ya kugundua kuwa mamajusi walikuwa wamemdanganya.

Taarifa kwa ujumla

Matukio haya yalitokea kabla kifo cha Herode, ambayo mwandishi ameyataja katika2:13

amekwisha dhihakiwa na mamajusi

Hii inaweza kuelezwa katika namna iliyo tendaji. "mamajusi walikuwa wamemwaibisha kwa kumdanganya."

Alituma na kuwaua watoto wote wa kiume

Herode hakuua watoto yeye mwenyewe. "Alitoa amri ili maaskali wake watoto wote wa kiume" au "Aliwatuma maaskari pale kuwa watoto wote wa kiume.

wenye umri wa miaka miwili na chini yake

"Umri wa miaka 2 na wadogo chini ya umri huo.

kwa mujibu wa wakati

"kutegemeana na wakati"