sw_tn/mat/02/07.md

623 B

Herode aliwaita mamajusi kwa siri

Hii inamaanisha kwamba Herode alizungumza na mamajusi bila ya watu wengine kujua.

kuwauliza lini hasa nyota ilikuwa imekwisha onekana.

Hii inaweza kutafsiriwa kama nukuu ya moja kwa moja. "na akawauliza, lini hasa nyota hii ilionekana?"

nyota ilikuwa imeonekana lini

Hii inadokeza kwamba mamajusi walimwambia nyota ilionekana lini. "wakati gani nyota ilikuwa umeonekana. Mamajusi walimwambia Herode lini wakati nyota ilipoonekana mara ya kwanza."

mtoto mchanga

Inamaanisha Yesu.

nipe neno

"nijulishe" au "niambie"

mwabudu

Tafsiri hii kama ulivyofanya katika Mat 2:1