sw_tn/mat/01/20.md

689 B

Kama alivyofikiri

"Kama Daudi alivyofikiri"

alimtokea katika ndoto

"alikuja kwake wakati Yusufu alikuwa akiota ndoto"

mwana wa Daudi

Hapa "mwana" humaanisha "mzaliwa"

aliyechukuliwa mimba katika tumbo lake amechukliwa mimba kwa Roho Mtakatifu

Hii inaweza kuelezewa kwa namna iliyo tendaji. "Roho Mtakatifu alisababisha Mariamu kuwa mjamzito na kuwa na mtoto huyu."

Naye atamzaa mwana

Kwa sababu Mungu alimtuma malaika, malaika alijua mtoto atakuwa mvulana.

utamwita jina lake

Hii ni amri. "utamwita" au "yakupasa kumpa jina"

kwa kuwa ataokoa

Mtafsiri anaweza kuongeza rejeo inayo sema "Jina 'Yesu' maana yake Bwana huokoa."

watu wake

Hii humaanisha Wayahudi