sw_tn/mat/01/15.md

363 B

Maelezo yanayounganisha

Mwandhishi anahitimisha ukoo wa Yesu, ambayo yalianza katika Mat.1: 1

Mariamu, ambaye kwa yeye Yesu alizaliwa

Mariamu, ambaye alimzaa Yesu

Aitwaye Kristo

Hii inaweza kuelezwa kwa namna iliyo hai. "watu ambao humwita Kristo."

Kumi na nne

"14"

kuchukuliwa kwenda Babeli

Tumia maneno yale yale uliyotumia katika Mat.1:9.