sw_tn/mal/01/06.md

407 B

mnadharau jina langu

"mmenifanyia kama mnayenichukia"

Lakini mwasema, 'ni kwa namna gani tumekudharau?

"ninyi makuhani mnasema, 'je tumekutendeaje kama tuna kuchukia? Tafsiri zingine zinasema: Mnanidharau lakini mwasema hapana!"

Mkate ulio najisi.

chakula ambacho hakikubaliki kwa dhabihu

Na mnasema, 'Tunakunajisi kwa namna gani?'

Tafsiri nyingine: Mnadhani mmekubalika kwangu lakini sivyo.