sw_tn/luk/24/44.md

300 B

Nilipokuwa nanyi

"Wakati bado nilipokuwa nanyi"

yote yaliyoandikwa kwenye sheria ya Musa na manabii na zaburi

Tafsiri mbadala: "yote ambayo Musa, manabii, na waandishi wa Zaburi waliandika kuhusu mimi"

lazima yatimilike

Tafsiri mbadala: "Mungu atayatimiliza" au "Mungu atayafanya yatokee"