forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
363 B
Markdown
12 lines
363 B
Markdown
# Kwa nini mnafadhaika?
|
|
|
|
Yesu anatumia swali kuwatia moyo. Tafsiri mbadala: "Msiogopeshwe."
|
|
|
|
# Kwanini maswali yanainuka mioyoni mwenu?
|
|
|
|
Yesu anatumia swali kuwakemea kidogo. Yesu alikuwa anawaambia wasitie mashaka kwamba yu hai. Tafsiri mbadala: "Msitie mashaka katika akili zenu!" au "Acheni kutia mashaka!"
|
|
|
|
# nyama na mifupa
|
|
|
|
Hii ni namna ya kumaanisha mwili
|