forked from WA-Catalog/sw_tn
363 B
363 B
Kwa nini mnafadhaika?
Yesu anatumia swali kuwatia moyo. Tafsiri mbadala: "Msiogopeshwe."
Kwanini maswali yanainuka mioyoni mwenu?
Yesu anatumia swali kuwakemea kidogo. Yesu alikuwa anawaambia wasitie mashaka kwamba yu hai. Tafsiri mbadala: "Msitie mashaka katika akili zenu!" au "Acheni kutia mashaka!"
nyama na mifupa
Hii ni namna ya kumaanisha mwili