forked from WA-Catalog/sw_tn
616 B
616 B
Wakanyanyuka
Inahusiana na wale watu wawili
nyanyuka
"kuamka" au "kusimama"
wale kumi na moja
Hii inaongelea wale mitume wa Yesu. Yuda hakuwa pamoja nao.
wakisema, "Bwana amefufuka kwelikweli
Wale mitume kumi na moja na wale waliokuwa pamoja nao walisema hivyo.
Hivyo wakawaambia
"Hivyo wale watu wawili wakawaambia"
mambo yaliyotokea njiani
Hii inamaanisha Yesu alivyowatokea wakiwa njiani kuelekea kijiji cha Emmau.
namna Yesu alivyodhihirishwa kwao
Tafsiri mbadala: "namna walivyomtambua Yesu"
katika kuumega mkate
"wakati Yesu alipouvunja mkate" au "wakati Yesu alipouchana mkate"