forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
616 B
Markdown
32 lines
616 B
Markdown
|
# Wakanyanyuka
|
||
|
|
||
|
Inahusiana na wale watu wawili
|
||
|
|
||
|
# nyanyuka
|
||
|
|
||
|
"kuamka" au "kusimama"
|
||
|
|
||
|
# wale kumi na moja
|
||
|
|
||
|
Hii inaongelea wale mitume wa Yesu. Yuda hakuwa pamoja nao.
|
||
|
|
||
|
# wakisema, "Bwana amefufuka kwelikweli
|
||
|
|
||
|
Wale mitume kumi na moja na wale waliokuwa pamoja nao walisema hivyo.
|
||
|
|
||
|
# Hivyo wakawaambia
|
||
|
|
||
|
"Hivyo wale watu wawili wakawaambia"
|
||
|
|
||
|
# mambo yaliyotokea njiani
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha Yesu alivyowatokea wakiwa njiani kuelekea kijiji cha Emmau.
|
||
|
|
||
|
# namna Yesu alivyodhihirishwa kwao
|
||
|
|
||
|
Tafsiri mbadala: "namna walivyomtambua Yesu"
|
||
|
|
||
|
# katika kuumega mkate
|
||
|
|
||
|
"wakati Yesu alipouvunja mkate" au "wakati Yesu alipouchana mkate"
|