forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
1015 B
Markdown
32 lines
1015 B
Markdown
# Ilitokea
|
|
|
|
Neno hili limetumika hapa kuashiria tukio muhimu katika simulizi.
|
|
|
|
# mkate
|
|
|
|
Hii inazungumzia juu ya mkate unaotengenezwa bila hamila. Haimaanishi chakula kwa ujumla.
|
|
|
|
# akaubariki
|
|
|
|
"akashukuru kwa ajili ya huo mkate" au "Akamshukuru Mungu kwa ajili ya mkate"
|
|
|
|
# Kisha macho yao yakafunguliwa
|
|
|
|
Tafsiri mbadala: "kisha wakaelewa" au "kisha wakatambua"
|
|
|
|
# akatoweka ghafla mbele ya macho yao
|
|
|
|
Hii inamaanisha kwamba ghafula hakuwa tena pale. Haimaanishi kwamba akawa haonekani kwa macho.
|
|
|
|
# Hivi mioyo yetu haikuwaka... maandiko?
|
|
|
|
Wanatumia swali kuweka msisitizo namna walivyo shangazwa juu ya kukutana kwao na Yesu. Tafsiri mbadala: "Mioyo yetu ilikuwa ikiwaka ndani yetu...maandiko."
|
|
|
|
# ikiwaka ndani yetu
|
|
|
|
Hii ni lugha ya picha inayoelezea hisia kali walizokuwa nazo walipokuwa wakiongea na Yesu. Tafsiri mbadala: "Tulikuwa na hisia kali alipokuwa akiongea na sisi."
|
|
|
|
# wakati alipotufungulia maandiko
|
|
|
|
Yesu hakufungua kitabu au gombo la chuo. Tafsiri mbadala: "wakati alipokuwa akituelezea maandiko.
|