forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
423 B
Markdown
12 lines
423 B
Markdown
# mioyo mizito ya kuamini
|
|
|
|
Tafsiri mbadala: "akili zenu ni nzito sana kuamini" au "ninyi ni wazito kuamini"
|
|
|
|
# Je haikuwa lazima ...utukufu?
|
|
|
|
Yesu anatumia swali kuwakumbusha wanafunzi juu ya kile ambacho manabii walisema. Tafsiri mbadala: "Ilikuwa ni lazima...utukufu."
|
|
|
|
# kuingia katika utukufu wake
|
|
|
|
Hii inamaanisha juu ya nyakati ambazo Yesu atamuonyesha kila mmoja uzuri wake na ukuu wake na kupokea heshima na ibada.
|