forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
505 B
Markdown
12 lines
505 B
Markdown
# Mambo gani?
|
|
|
|
"Mambo gani yametokea?" au "Mambo gani yaliyofanyika?"
|
|
|
|
# muweza katika matendo na maneno mbele za Mungu na watu wote
|
|
|
|
Hii inamaanisha kwamba Mungu alimfanya Yesu kuwa mwenye nguvu na kwamba watu walimuona kwamba alikuwa muwez. Tafsiri mbadala: "na Mungu alimpa nguvu kufanya na kufundisha mambo makubwa ambayo yaliwashangaza watu wote."
|
|
|
|
# walivyomtoa kuhukumiwa kifo na kumsulubisha
|
|
|
|
Tafsiri mbadala: "walimtoa Yesu kwa kiongozi wa Kirumi ili kiongozi huyo aweze kumuua kwa kumsulubisha"
|