forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
347 B
Markdown
12 lines
347 B
Markdown
# wakakumbuka maneno yake
|
|
|
|
Tafsiri mbadala: "walikumbuka yale aliyoyasema Yesu"
|
|
|
|
# wengine wote
|
|
|
|
"wanafunzi wengine wote waliokuwa na mitume kumi na mmoja"
|
|
|
|
# Basi
|
|
|
|
Neno hili limetumika hapa kuonyesha pumziko katika simulizi kuu. Hapa Luka anatoa majina ya baadhi ya wanawake na kuelezea namna ambavyo mitume waliitikia kwa kile ambacho walisema.
|