forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
457 B
Markdown
20 lines
457 B
Markdown
# Mapema sana siku ya kwanza ya wiki
|
|
|
|
"Kabla jua halijachomoza siku ya Jumapili"
|
|
|
|
# walikuja
|
|
|
|
"wanawake walifika kwenye."
|
|
|
|
# kaburini
|
|
|
|
Kaburi lilikuwa limechongwa katika mwamba wa karibu na bahari.
|
|
|
|
# jiwe limeviringishwa
|
|
|
|
Tafsiri mbadala: "kwamba mtu fulani alikuwa ameriviringisha lile jiwe"
|
|
|
|
# jiwe
|
|
|
|
Hili lilikuwa kubwa, limechongwa, jiwe la duara kubwa la kutosha kuweza kuziba kabisa mlango wa kuingilia kaburini. Lilihitaji watu wengi kulivingirisha.
|