forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
701 B
Markdown
36 lines
701 B
Markdown
# Aliyesulubiwa
|
|
|
|
"aliyeangikwa pia msalabani"
|
|
|
|
# alimtukana
|
|
|
|
"alimtukana Yesu"
|
|
|
|
# Wewe si Kristo?
|
|
|
|
Muhalifu alitumia swali kumdhihaki Yesu."umedsi kuwa wewe ni Kristo"
|
|
|
|
# Jiokoe mwenyewe na sisi pia
|
|
|
|
Muhalifu hakufikiri kweli kuwa Yesu angeweza kuwaokoa kutoka kwenye msalaba"
|
|
|
|
# yule mwingine akajibu
|
|
|
|
"muhalifu mwingine alijibu"
|
|
|
|
# akimkemea na kusema
|
|
|
|
"na kumkemea yule muhalifu akisema"
|
|
|
|
# Je wewe humuogopi Mungu, kwani uko katika hukumu hiyo hiyo
|
|
|
|
Muhalifu alitumia swali kumkemea yule muhalifu mwingine. " Hauna hofu ya Mungu , kwani unamdhihaki Yesu wakati umetundikwa msalabani kama yeye.
|
|
|
|
# sisi tupo hapa kwa haki
|
|
|
|
"Kiukweli sisi tunastahili adhabu hii"
|
|
|
|
# mtu huyu
|
|
|
|
Hii inamaanisha Yesu.
|