forked from WA-Catalog/sw_tn
452 B
452 B
yeye
"Yesu"
walimkaribia yeye
"kuja karibu na Yesu"
wakampa siki
" walimpa Yesu siki ili anywe" Siki ni aina ya kinyaji kirahisi ambayo watu wa kawaida hunywa. Maaskari walimdhihaki Yesu kwa kumpa siki mtu aliyesema yeye ni mfalme.
alama juu yake
" kitu kama ubao juu ya msalaba wa Yesu iliyoandikwa"
HUYU NDIYE MFALME WA WAYAHUDI
Watu walioweka alama juu ya Yesu walikuwa wakimdhihaki yeye. Hawakuamini kweli kuwa yeye ni mfalme.