forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
452 B
Markdown
20 lines
452 B
Markdown
|
# yeye
|
||
|
|
||
|
"Yesu"
|
||
|
|
||
|
# walimkaribia yeye
|
||
|
|
||
|
"kuja karibu na Yesu"
|
||
|
|
||
|
# wakampa siki
|
||
|
|
||
|
" walimpa Yesu siki ili anywe" Siki ni aina ya kinyaji kirahisi ambayo watu wa kawaida hunywa. Maaskari walimdhihaki Yesu kwa kumpa siki mtu aliyesema yeye ni mfalme.
|
||
|
|
||
|
# alama juu yake
|
||
|
|
||
|
" kitu kama ubao juu ya msalaba wa Yesu iliyoandikwa"
|
||
|
|
||
|
# HUYU NDIYE MFALME WA WAYAHUDI
|
||
|
|
||
|
Watu walioweka alama juu ya Yesu walikuwa wakimdhihaki yeye. Hawakuamini kweli kuwa yeye ni mfalme.
|