# walisimama
"walisimama pale"
# Yeyey
Hii inamaanisa Yesu.
# ajiokoe mwenyewe
"Yesu atakuwa na uwezo wa kujiokoa" au "Tunataka kuona akijionyesha yeye ni nani kwa kujiokoa mwenyewe kutoka msalabani"
# aliyechaguliwa
"mmoja ambaye Mungu alimchagua"