# akawaambia tena
"akaongea nao tena" au "aliongea tena na watu kwenye mkusanyiko"
# akitamani kumuachilia Yesu
"kwasababu alitaka kumuachilia Yesu"
# Akawaambia kwa maraya tatu
"Pilato akasema na mkutano tena, kwa mara ya tatu"