forked from WA-Catalog/sw_tn
473 B
473 B
aliposikia haya
"kusikia kuwa Yesu alianza kufundisha huko Galilaya"
kama
kama
mtu huyu
Hii inamaanisha Yesu
alipotambua
"Pilato akatambua"
alikuwa chini ya utawala wa Herode
Kifungu hiki hakitaji ukweli unaoelekea kuwa Herode alikuwa Mtawala wa Galilaya. "Yesu alikuwa chini ya utawala wa Herode kwasababu Herode alitawala Galilaya"
akatuma
"Pilato alituma"
ambaye mwenyewe
Hii inamaanisha Herode
kwa siku hizo
"Wakati wa sherehe za Pasaka"