forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
548 B
Markdown
16 lines
548 B
Markdown
# kizazi hiki
|
|
|
|
Inaweza kutafsiriwa kama 1) kizazi ambazho kitaona moja ya ishara ambazo Yesu aliziongelea au 2) kizazi amacho Yesu alikuwa anakizungumzia. Tafsiri ya kwanza ni kama iko sahihi zaidi.
|
|
|
|
# hakitapita, mpaka
|
|
|
|
Tafsiri mbadala: "kitakuwa bado hai wakati..."
|
|
|
|
# Mbingu na nchi zitapita
|
|
|
|
"Mbingu na nchi zitakoma kuwepo." Neno "mbingu" hapa linamaanisha anga na ulimwengu mwingine juu yake.
|
|
|
|
# maneno yangu hayatapita
|
|
|
|
"maneno yangu hayatakoma kuishi" au "maneno yangu hayatashindwa kamwe." Tafsiri mbadala: "Nikisemacho hakika kitatokea."
|