forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
857 B
Markdown
24 lines
857 B
Markdown
# Mwana wa Adamu
|
|
|
|
Yesu anarejea kwake mwenyewe
|
|
|
|
# akija mawinguni
|
|
|
|
Tafsiri mbadala: "akija chini katika mawingu"
|
|
|
|
# katika nguvu na utukufu mkuu
|
|
|
|
Hapa "nguvu" inawezekana inarejea katika mamlaka yake kuuhukumu ulimwengu. Hapa "utukufu" unaweza kurejea mwanga angavu. Mungu wakati mwingine anaonyesha ukuu wake na mwanga angavu sana. Tafsiri mbadala: "a nguvu na utukufu" au "atakuwa na wa nguvu na wa utukufu sana."
|
|
|
|
# simameni
|
|
|
|
Wakati mwingine watu wanapoogopa, hujiinamisha chini ili kuepuka kuonekana au kuumizwa. Wakati wanapokuwa hawaogopi tena, wananyanyuka. Tafsiri mbadala: "simameni na ujasiri."
|
|
|
|
# inueni vichwa vyenu
|
|
|
|
Tafsiri mbadala: "tazameni juu." Kwa kutazama juu, wataweza kumuona mwokozi akija kwao.
|
|
|
|
# kwa sababu ukombozi wenu unasogea karibu
|
|
|
|
Tafsiri mbadala: "kwa sababu mkombozi wenu anakuja kwenu" au "kwa sababu Mungu mara atawaokoa"
|