forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
517 B
Markdown
24 lines
517 B
Markdown
# Yerusalemu imezungukwa na majeshi
|
|
|
|
Tafsiri mbadala: "Majeshi yanauzunguka Yerusalemu"
|
|
|
|
# kwamba uharibifu wake umekaribia
|
|
|
|
"kwamba itaharibiwa hivi karibuni" au "kwamba watauharibu muda si mrefu"
|
|
|
|
# kimbia
|
|
|
|
"kimbia mbali kutoka kwenye hatari"
|
|
|
|
# hizi ni siku za kisasi
|
|
|
|
"hizi ni siku za adhabu" au "huu ni wakati ambapo Mungu atauadhibu mji"
|
|
|
|
# mambo yote yaliyoandikwa
|
|
|
|
Tafsiri mbadala: "mambo yote ambayo manabii wameandika katika maandiko matakatifu zamani za kale"
|
|
|
|
# yatatimilika
|
|
|
|
Tafsiri mbadala: "yatatokea"
|