forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
685 B
Markdown
24 lines
685 B
Markdown
# Kwahiyo
|
|
|
|
"Kwa sababu ya hili." Yesu anatumia neno hili hapa kurejea kwenye kila kitu alichokisema.
|
|
|
|
# amueni mioyoni mwenu
|
|
|
|
Tafsiri mbadala: "zingatieni akilini mwenu" au "amua kiuthabiti"
|
|
|
|
# kutoandaa utetezi wenu
|
|
|
|
"kutokufikiri nini ambacho mtasema ili kujitetea kinyume cha mashitaka yao"
|
|
|
|
# nitawapa maneno na hekima
|
|
|
|
"Nitawaambia maneno gani ya hekima ya kusema"
|
|
|
|
# maneno na hekima
|
|
|
|
Tafsiri mbadala: "maneno ya hekima"
|
|
|
|
# ambayo adui zenu wote hawataweza kuipinga au kuikataa kwamba ni uongo.
|
|
|
|
Hii inaweza kutafsiriwa kama sentensi mpya. Tafsiri mbadala: "Adui zenu hawataweza kubishana na ninyi au kusema kwamba hamko sahihi" au "Adui zenu lazima wakubali kwamba mko sahihi."
|