forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
706 B
Markdown
32 lines
706 B
Markdown
# mambo haya
|
|
|
|
Hii inamaanisha mambo mabaya ya kutisha ambayo Yesu alisema yatatukia.
|
|
|
|
# wataweka mikono yao juu yenu
|
|
|
|
Tafsiri mbadala: "watawakamata" au "watawashika"
|
|
|
|
# wata...
|
|
|
|
"watu wata.." au "adui wata..."
|
|
|
|
# yenu
|
|
|
|
Yesu alikuwa akiongea na wanafunzi wake.
|
|
|
|
# kuwapeleka kwenye masinagogi
|
|
|
|
"kuwatoa ninyi kwa viongozi wa masinagogi." Viongozi wa masinagogi wangewakataza Wayahudi wengine wote kuingiliana na wanafunzi kwa sababu wanamfuata Yesu.
|
|
|
|
# na magereza
|
|
|
|
"na kuwapeleka ninyi magerezani" au "na kuwaweka ninyi magerezani"
|
|
|
|
# kwa sababu ya jina langu
|
|
|
|
Tafsiri mbadala: "kwa sababu yangu" au "kwa sababu mnanifuata mimi"
|
|
|
|
# kwa ushuhuda wenu
|
|
|
|
"kwa ninyi kuwaambia wao ushuhuda wenu kunihusu mimi"
|