forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
684 B
Markdown
28 lines
684 B
Markdown
# wakamuuliza
|
|
|
|
"wanafunzi wakamuuliza Yesu" au "Wanafunzi wa Yesu wakamuuliza"
|
|
|
|
# mambo haya
|
|
|
|
Hii inarejea kile ambacho Yesu amesema kuhusu adui kuliharibu hekalu.
|
|
|
|
# kwamba msidanganywe
|
|
|
|
Yesu alikuwa akiwaambia wanafunzi wake.Tafsiri mbadala: "kwamba msiamini uongo" au "kwamba hakuna mmoja wa kuwadanganya."
|
|
|
|
# kwa jina langu
|
|
|
|
Tafsiri mbadala: "wanadai kuwa mimi" au "wanadai kuwa na mamlaka yangu"
|
|
|
|
# msiogope
|
|
|
|
"Msiruhusu haya mambo yawaogofye" au "msiogope"
|
|
|
|
# mwisho hautatokea upesi
|
|
|
|
Tafsiri Mbadala: "mwisho wa dunia hautatokea upesi baada ya vita na vurugu" au "dunia haitafikia mwisho upesi baada ya mambo hayo kutokea"
|
|
|
|
# mwisho
|
|
|
|
" mwisho wa kila kitu" au "mwisho wa miaka"
|