forked from WA-Catalog/sw_tn
684 B
684 B
wakamuuliza
"wanafunzi wakamuuliza Yesu" au "Wanafunzi wa Yesu wakamuuliza"
mambo haya
Hii inarejea kile ambacho Yesu amesema kuhusu adui kuliharibu hekalu.
kwamba msidanganywe
Yesu alikuwa akiwaambia wanafunzi wake.Tafsiri mbadala: "kwamba msiamini uongo" au "kwamba hakuna mmoja wa kuwadanganya."
kwa jina langu
Tafsiri mbadala: "wanadai kuwa mimi" au "wanadai kuwa na mamlaka yangu"
msiogope
"Msiruhusu haya mambo yawaogofye" au "msiogope"
mwisho hautatokea upesi
Tafsiri Mbadala: "mwisho wa dunia hautatokea upesi baada ya vita na vurugu" au "dunia haitafikia mwisho upesi baada ya mambo hayo kutokea"
mwisho
" mwisho wa kila kitu" au "mwisho wa miaka"