forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
436 B
Markdown
16 lines
436 B
Markdown
# matoleo
|
|
|
|
"vitu ambavyo watu walimpa Mungu"
|
|
|
|
# siku zitakuja ambazo
|
|
|
|
"kutakuwa na nyakati ambapo" au "siku fulani"
|
|
|
|
# hakuna jiwe moja ambalo litaachwa juu ya jiwe jingine
|
|
|
|
"kila jiwe litatolewa mahali pake." Tafsiri mbadala: "adui hawataliacha jiwe juu ya jiwe juu ya jiwe jingine."
|
|
|
|
# ambalo halitabomolewa
|
|
|
|
Hii inaweza kutafsiriwa kama sentensi mpya. Tafsiri mbadala: "Yote yatabomolewa chini" au " Adui watabomoa chini kila jiwe."
|