forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
944 B
Markdown
32 lines
944 B
Markdown
# Maelezo yanayounganisha
|
|
|
|
Masadukayo wakamaliza kumuuliza Yesu maswali.
|
|
|
|
# Taarifa ya jumla
|
|
|
|
Masadukayo walimwambia Yesu simulizi fupi kwenye mstari wa 29-32. Hii ni simulizi waliyoiweka kama mfano. kwenye mstari wa 33, walimuuliza Yesua swali kuhusu simulizi hiyo.
|
|
|
|
# Walikuwepo ndugu saba
|
|
|
|
Hii inaweza kuwa imetokea au ni simulizi iliyotengenezwa ili kumjaribu Yesu.
|
|
|
|
# Walikufa bila kuwa na watoto
|
|
|
|
"kufa bila kuwa na mtoto" au "na kufa lakini hawakuwa na mtoto yeyote"
|
|
|
|
# Na wa pili pia
|
|
|
|
"wa pili alimuoa na kitu kilekile kikatokea" au "ndugu wa pili akamuoa na akafa bila kupata watoto"
|
|
|
|
# Wa tatu akamchukua
|
|
|
|
"wa tatu akamuoa"
|
|
|
|
# vivyo hivyo wa saba hakuacha watoto na akafa
|
|
|
|
"kwa njia ileile kama ndugu wote saba walimuoa na hawakupata watoto wa wakafa.
|
|
|
|
# Kwenye ufufuo
|
|
|
|
"wakati watu watafufuliwa toka kwa wafu" au "wakati waliokufa wanakuwa hai tena." Baadhi ya lugha wananjia ya kuonyesha kuwa masadukayo hawaamini kuwa kuna ufufuo.
|