forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
497 B
Markdown
28 lines
497 B
Markdown
# Hivyo
|
|
|
|
Neno hili linaweka alama ya tukio limetokea kwa sababu kitu fulani kilitokea kwanza. Kwa hivyo makutano walimwambia kipofu kuwa Yesu anapita.
|
|
|
|
# Akalia kwa sauti
|
|
|
|
"akaita kwa sauti" au "akapiga kelele"
|
|
|
|
# Mwana wa Daudi
|
|
|
|
Yesu alikuwa uzao wa Daudi, Mfalme muhimu kwa Israeli.
|
|
|
|
# Nihurumie
|
|
|
|
"nionee huruma" au "nihurumie"
|
|
|
|
# Wale
|
|
|
|
"watu"
|
|
|
|
# Anyamaze
|
|
|
|
"awe kimya" au "asipige kelele"
|
|
|
|
# Akazidi kulia kwa sauti
|
|
|
|
Hii inaweza kumaanisha alilia kwa sauti zaidi au alilia zaidi kwa kusisitiza.
|