forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
626 B
Markdown
32 lines
626 B
Markdown
# Taarifa ya jumla
|
|
|
|
Hii ni sehemu nyingine ya simulizi. Yesu anamponya kipofu alipokuwa anakaribia Yeriko. Mistari hii inatupa historia kuhusu simulizi hii.
|
|
|
|
# Ikawa
|
|
|
|
Neno hili linatumika kuonyesha mwanzo wa simulizi mpya.
|
|
|
|
# Alipokaribia
|
|
|
|
"Alipokuwa karibu"
|
|
|
|
# Mtu mmoja kipofu alikuwa ameketi
|
|
|
|
"kulikuwa na mtu kipofu ameketi" Hapa "mmoja" inaonyesha kuwa mtu huyu alikuwa wa muhimu katika simulizi hii lakini Luka hakutaja jina lale.
|
|
|
|
# Akiomba, na akasikia
|
|
|
|
"Aliomba. aliposikia"
|
|
|
|
# Wakamwambia
|
|
|
|
"Makutano wakamwambia kipofu"
|
|
|
|
# Yesu wa Nazareti
|
|
|
|
Yeso toka mji wa Nazareti uliopo Galilaya.
|
|
|
|
# Anapiata
|
|
|
|
"Alikuwa akimpita"
|