forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
349 B
Markdown
12 lines
349 B
Markdown
# Waliosikia wakasema
|
|
|
|
"Watu waliomsikiliza Yesu wakasema"
|
|
|
|
# Je nani atakayeokoka?
|
|
|
|
Inawezekana kuwa walikuwa wanataka jibu. Lakini ni dhahiri kwamba walitumia swali kuonyesha mshangao wao kwa alichokisema Yesu. "Hivyo hakuna atakayeokoka na dhambi" au "Hivyo Mungu hatamuokoa hata mmoja"
|
|
|
|
# Yanawezekana kwa Mungu
|
|
|
|
"inawezekana kwa Mungu kufanya"
|